Mrembo mmoja amenusurika kuvuliwa nguo hadharani jijini Dar es Salaam baada ya kuvaa kimini kilichokuwa kimeacha sehemu kubwa ya mapaja yake meupe nje. Video iliyosambaa mtandaoni, inamuonesha msichana huyo aliyevaa mini skirt nyeupe yenye mistari mieusi na mkoti mwekundu akiwa amekimbilia kwenye mgahawa wa nje kuepuka vijana wenye hasira waliokuwa wakimzomea na kutaka kumvulisha nguo zake.
Showing posts with label TEH TEH!! HAHAHAHA!!. Show all posts
Showing posts with label TEH TEH!! HAHAHAHA!!. Show all posts
Wednesday, 12 July 2017
Subscribe to:
Posts (Atom)



