Pages

HH
Showing posts with label MUSIC MBELE. Show all posts
Showing posts with label MUSIC MBELE. Show all posts

Saturday, 14 October 2017

BIRDMAN KUZIONDOA TATTOO ZAKE ZA USONI


Birdman hazitaki tena tattoo zake za usoni. Bosi huyo wa Cash Money amesema atazitoa tattoo hizo alizodumu nazo kwa miaka kibao.

MWANAMKE ALIYEDAI KUBAKWA NA NELLY ATAKA KESI IFUTWE


Mwanamke aliyedai kuwa amebakwa na rapper Nelly wa Marekani kwenye basi lake la ziara wikiendi iliyopita anataka mashtaka hayo yafutwe.

Tuesday, 25 July 2017

MWANAMKE ALIYEMSHITAKI USHER KWA KUMWAMBUKIZA GONJWA LA ZINAA ATAKA ALIPWE $40M


Skendo ya Usher kuhusu gonjwa la zinaa la herpes imeendelea kuwa kubwa. Hivi karibuni, mwanamke aliyetambulika kama Jane Doe alimshitaki Usher akitaka alipwe dola milioni 10 kwa kumwambukiza ugonjwa huo.
Na sasa mwanamke huyo amesema amepima na kuonekana ameambukizwa ugonjwa huo wa zinaa na anataka alipwe dola milioni 30 zingine.
Mwaka 2012 muimbaji huyo alimlipa mwanamke mwingine dola milioni 1.1 kwa kumwambukiza Herpes Simplex 2. Jane Doe anadai alifanya mapenzi na Usher mara mbili na mara moja bila kondomu.

Wednesday, 12 July 2017

WIZ KHALIFA AIVUNJA REKODI YA GANGNAM STYLE KWA KUWA NA VIDEO ILIYOANGALIWA ZAIDI YOUTUBE

Video ya wimbo wa Wiz Khalifa ‘See You Again’ aliomshirikisha Charlie Puth imekuwa video iliyotazamwa zaidi Youtube. See You Again imeipiku ile ya msanii wa Korea Kusini, Psy, Gangnam Style kwa kuwa na views bilioni 2.9 huku Gangnam ikiwa na bilioni 2.894.

Friday, 7 July 2017

Download Ngoma kali "BODY TARK" kutoka kwa RAY SYTES!!


24 RADIO inakutambulisha kwako mwanamuziki kutoka marekani  anaekwenda kwa jina la Ray Sytes Anazindua ngoma yake kali inayokwenda kwa jina la "BODY TALK" hii ngoma utaisikia hapa kwa mara ya kwanza Tanzania na Africa ameamua kuzindua hapa kwa kua ni redio ambayo inapenya na kuvuka boda  akiwa mwanamuziki mkubwa wenzake walimwambia kua kuna redio online inagonga Ngoma kali masaa 24 hawajui ni ya nchi gani ndipo akaamua kunitafuta na kwa kua imeshakua maarufu maeneo ya kwao kwa heshima akaamua aitambulishe Ngoma yake 24 Radio pia ameambatanisha na video yake ambayo nitawawekea pia  unawez ukam follow kwenye mitandao ya kijamii  pia   Facebook -HAPA Instagram HAPA Twitter HAPA 

Thursday, 6 July 2017

Picha: Celine Dion akava jarida la Vogue akiwa mtupu


Mwanamuziki mkongwe duniani Celine Dion amekava kwenye jarida la Vogue akiwa mtupu.
Mwanamama huyo mwenye miaka 49, ni moja kati ya wanamuziki wenye heshima kubwa duniani, Kupitia mtandao wa Instagram wa jarida hilo wameweka picha inayomuonesha muimbaji huyo akiwa mtupu pamoja na picha zake nyingine.

Sunday, 2 July 2017

Baada ya kuwashiwa Moto na mama yake Notorious Kendall na Kylie waomba radhi



Baada ya mama mzazi wa marehemu Notorious B.I.G., Bi Voletta Wallace kupaniki kwa kitendo cha familia ya Kardashian ( Kendall na Kylie Jenner) kutengeneza T-shirt bila kumjulisha, hatimaye wameamua kumuomba radhi mama huyo na watu wote waliowakosea.

Friday, 30 June 2017

‘Kill Jay Z’ yamchana Kanye West

Tokeo la picha la jay z & kanye
Leo hii ndio rapper Jay Z ameachaia albamu yake ya 13, iitwayo ‘4: 44’ katika albamu hiyo kuna wimbo unaoitwa ‘Kill Jay Z’ ambao unadaiwa kumchana rapper mwenzie, Kanye West.

Picha: Mastaa waliohudhuria kwenye mazishi ya rapper Prodigy

Tokeo la picha la Mobb Deep, Prodigy
Alhamisi hii rapper kutoka kundi la muziki wa Hip Hop Marekani, Mobb Deep, Prodigy amezikwa mjini new York.

Wednesday, 28 June 2017

ANGALIA NGUMI KATI YA MEEK MILL NA SAFAREE WAKIMGOMBEA NICK MINAJ ALAFU UONE NICK ALIVYOWAMWAGA WOTE NA KUSEPA SAZE!!



Baada ya kuzichapa kati ya Meek Mill na Safaree siku ya Jumamosi kwenye sherehe ya pre-BET party ya Dj Khaled iliyofanyika Penthouse, West Hollywood, mrembo Nick Minaj amefunguka kuwa hajaumizwa na tukio hilo liliofanywa na ma-ex wake hao.
Internet Radio