Pages

HH
Showing posts with label MUSIC BONGO. Show all posts
Showing posts with label MUSIC BONGO. Show all posts

Wednesday, 12 July 2017

MR BLUE ADAI WABONGO HAWAPENDI NYIMBO ZENYE ELIMU

Picha inayohusiana
Msanii  wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mr Blue amezungumzia jinsi ambavyo watanzania walivyoipokea ngoma yake mpya, Siwezi aliyomshirikisha JR. Mr Blue anayetokea kundi la Micharazo ameiambia Dizzim Online kuwa watanzania wengi hawapendi ngoma za kuelimisha.

Sunday, 2 July 2017

Saida asema ngoma na diamond na belle 9 lazima wakae hebu soma alichokisema hapa!!


Muimbaji huyo amedai kibao cha ‘Urugambo’ amekitoa kama kifungua kinywa, badala yake watanzania watarajie kupata nyimbo kali mfululizo.
Saida aliyasema hayo wakati wa mahojiano yake na kaka mkubwa GK wa 24 radio  katika kipindi wk end music mix saida aliema hivi hapa mimi pale Diamon kule Bele unategemea nini kama sio kuwatoa jasho raia??

Wednesday, 28 June 2017

Juacali amfagilia Rayvanny



Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop kutoka nchini Kenya, Juacali ameonyesha kufurahishwa na msanii Rayvanny.


Amemsifia msani huyo kutoka WCB, kwa kusema ushindi wake unaupa sifa muziki wa East Afrika kwa kuutangaza zaidi.
Internet Radio