Pages

HH

Sunday 2 July 2017

2GAME FT VAN DACH WATAMBULISHA NGOMA YAO LEO BONGE LA NGOMA!!

Msani anaeinukia kwa kasi kwenye Gemu la Bongo flever 2GAME  ametoa  Ngoma yake kali akimshirikisha  Van Dach  wakati anahojiwa kuhusu ujaji wake amesema amelisoma Game muda mrefu na ameamua kuja  kuwapa muziki mzuri mashabiki wake  nyimbo hiyo utaisikia  ikitambulishwa saa 1 usiku leo kwenye redio yetu pendwa ya 24 radio unaweza ukaisikiliza na kuidownload  hapo chini    


0 comments:

Post a Comment

Internet Radio