Sunday, 2 July 2017
Saida asema ngoma na diamond na belle 9 lazima wakae hebu soma alichokisema hapa!!
Muimbaji huyo amedai kibao cha ‘Urugambo’ amekitoa kama kifungua kinywa, badala yake watanzania watarajie kupata nyimbo kali mfululizo.
Saida aliyasema hayo wakati wa mahojiano yake na kaka mkubwa GK wa 24 radio katika kipindi wk end music mix saida aliema hivi hapa mimi pale Diamon kule Bele unategemea nini kama sio kuwatoa jasho raia??
Labels:
MUSIC BONGO
2GAME FT VAN DACH WATAMBULISHA NGOMA YAO LEO BONGE LA NGOMA!!
Msani anaeinukia kwa kasi kwenye Gemu la Bongo flever 2GAME ametoa Ngoma yake kali akimshirikisha Van Dach wakati anahojiwa kuhusu ujaji wake amesema amelisoma Game muda mrefu na ameamua kuja kuwapa muziki mzuri mashabiki wake nyimbo hiyo utaisikia ikitambulishwa saa 1 usiku leo kwenye redio yetu pendwa ya 24 radio unaweza ukaisikiliza na kuidownload hapo chini
Labels:
NGOMA ILIYOTAMBULISHWA LEO
Friday, 30 June 2017
‘Kill Jay Z’ yamchana Kanye West
Leo hii ndio rapper Jay Z ameachaia albamu yake ya 13, iitwayo ‘4: 44’ katika albamu hiyo kuna wimbo unaoitwa ‘Kill Jay Z’ ambao unadaiwa kumchana rapper mwenzie, Kanye West.
Labels:
MUSIC MBELE
Picha: Mastaa waliohudhuria kwenye mazishi ya rapper Prodigy
Alhamisi hii rapper kutoka kundi la muziki wa Hip Hop Marekani, Mobb Deep, Prodigy amezikwa mjini new York.
Labels:
MUSIC MBELE
Wednesday, 28 June 2017
Juacali amfagilia Rayvanny
Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop kutoka nchini Kenya, Juacali ameonyesha kufurahishwa na msanii Rayvanny.
Amemsifia msani huyo kutoka WCB, kwa kusema ushindi wake unaupa sifa muziki wa East Afrika kwa kuutangaza zaidi.
Labels:
MUSIC BONGO
ANGALIA NGUMI KATI YA MEEK MILL NA SAFAREE WAKIMGOMBEA NICK MINAJ ALAFU UONE NICK ALIVYOWAMWAGA WOTE NA KUSEPA SAZE!!
Baada ya kuzichapa kati ya Meek Mill na Safaree siku ya Jumamosi kwenye sherehe ya pre-BET party ya Dj Khaled iliyofanyika Penthouse, West Hollywood, mrembo Nick Minaj amefunguka kuwa hajaumizwa na tukio hilo liliofanywa na ma-ex wake hao.
Labels:
MUSIC MBELE
Sunday, 25 June 2017
FM ACADEMIA KULA IDD BILA NYOSHI …bendi mpya yanukia
FM Academia “Wazee wa Ngwasuma” itaangusha show za Idd el Fitr bila ya aliyekuwa rais wao Nyoshi el Saadat ambaye ni kama vile ameipa kisogo bendi hiyo. Habari za uhakika zilizofikia 24 RADIO ni kwamba Nyoshi
Labels:
MUSIC WA DANSI
Friday, 2 June 2017
Subscribe to:
Posts (Atom)






